Mshambuliaji wa Liverpool amewapiku nyota mashuuri baraani Afrika katika tuzo ya mchezaji bora wa mwaka Afrika BBC .
Waliokuwepo katika kinyanganyiro iko walikuwa Pierre Emmerickan Abubeyang wa Gabon, Victor Moses wa Nigeria na staa mwenzake wa liverpool Sadio Mane wa Senegal .
katika Ukuransa wake wa Twitter staa huyu mwenye magoli 13 ligi kuu uingereza na mwongoza wa magoli katika ligi hiyo alisema " nafuraha kubwa ya kushinda tuzo hii ya hadhi ya mchezaji bora wa Afrika na kujumiaka na wachezaji mashuuri kabisa walioshinda kabda yangu"
Maoni