klabu ya Hull city inafuraha kutangaza uteuzi wa Nigel Adkins kama kocha mkuu wa klabu hiyo .
kocha huyu akiyeipandisha klabu ya Sauthamptom mwaka 2012 ameajiriwa pamoja na msaidizi wake
Adry Grosby kwa mkataba wa miezi 18 .
Alichukua klabu hiyo Sauthcoast kutoka league one mpaka ligi kuu uingereza ana miaka 52
Maoni