Kiungo mchezeshaji na mshambuliaji hatari barani Ulaya Mbeligiji Eden Hazard ametia hofu baada ya kukataa mazungumzo ya mkataba mpya klabuni Chelsea
Mkataba wa sasa unahisha katika majira ya joto 2020 ambapo kwa wiki anaingiza mshaara wa pauni 200,000 kwa wiki
Mkataba mpya chelsea wanataka wawe wanamlipa pauni 340,000 pauni kwa wiki ambapo kwa mwaka anakuwa anapata mpunga wa 18 milioni euo
Anakataa mazungumzo ya mkataba mpya akisubiria ofa kutoka kwa Real Madrid wanaokuwa wanamfuatilia kwa muda mrefu
Maoni