BARCELONA WAJIANDAA KUFANYA MABADILIKO LICHA YA MAJERUHI KUREJEA

Klabu ya Barcelona wanatarajia kuwaona tena uwanjani Ousmane Dembele pamoja na Rafinha waliokuwa wanauguzia majeraha ya muda mrefu.

Licha ya kikosi hiki kuwa kinaongoza kwa alama 8 kileleni mbele ya Atletico Madrid , 11 dhidi ya Valencia na 14 dhidi ya Real Madrid . Bado kinataka kuongeza makali zaidi kuwapa muda mrefu wa mapumziko kwa Lionel Messi na Adreas Iniesta .

Orodha ya mastaa waliotajwa klabuni hapo katika dirisha hili la baridi ni pamoja na Mesult Ozil ,Nabir Fekir , Max Meyer , Leon Geortezka , Alexandur Golovin .

Wakati orodha ya wanaondoka ikiwa Javier Masherano na Arda Turan .

Arthur na Graizeman wanaitajika klabuni hapo haswa katika majira ya kiangazi .

Wana mchezo katika ligi ya mabigwa ulaya dhidi ya Chelsea kutoka nchini Uingereza .

Licha ya mchezo huo wanakutana na RC Celta katika michuano ya Copa de rey .

Makala na Prosper Barthalomew
simu:/+255716243875.
barua pepe: (EMAIL) : barthaprosper@gmail.com

Maoni