Baada ya kumfukuza kazi Tony Pulis klabu ya West brom wameamua kumtangaza kocha mpya atakayechukua mikoba ya pulis alyefukuzwa wiki chache zilizopita baada ya kipigo cha 4-0 kutoka kwa chelsea .
Alarn Perdew ameibukia huko licha ya kukaribia mwaka tangu atimuliwe klabuni crystal palace . Anatarajia kuiongoza timu hiyo kwenye mechi ya wakiendi hiyo jana west brom walirudishiwa magoli 2 na kutoka sare ya 2-2_ na jumapili kutoa tena sare ya 1-1 baada ya kurudishiwa goli uwanjani Wembley
Maoni