POLISI WA URUSI NDANI OLD TRAFFORD NA ANFIELD ,KUMBE GOLI LA ROONEY LINA REKODI YAKE

Polisi kutoka Urusi wanatarajiwa kufanya mazoezi  kwa ajili ya kujiandaa na kombe la  dunia 2018 watakapoingia uwanjani old Trafford kwenye mchezo wa  Manchester united na Manchester city wiki ijayo pia wameripotiwa wengine wataenda uwanjani Anfield.

Na goli la  Wayne Rooney limefugwa kutoka yardi 58 bado ndani ya sehemu ya ulinzi wa timu yao hili  ndo goli la umbali mrefu lilofugwa miaka ya karibuni  kwenye ligi kuu uingereza jingine ni Charlie Adam tarehe 4-4-2015 dhidi ya chelsea.

Maoni