kocha wa zamani wa Crystal palace,timu ya taifa ya uingereza,Sunderland Sam Allarydes almaarufu kama Big Sam amesaini na ameteuliwa kuitumikia klabu ya Everton mpaka majira ya kiangazi 2019. Jana usiku alishuudia timu yake ikisambaza kichapo kwa west ham mabao 4-0.
Maoni