UCL ;MAKALA

Matokeo ya siku ya kwanza kwenye uefa yako kwenye picha huku ushindi mkubwa ukimuendea Antonio Conte alikoitandika timu ya Azerbaijan bao 6  kwa sifuri goli lilooachwa vinywa wazi leo ni lile la muitaliano Zappacosta likiwa Kama grosi na goli na kuwa na rekodi kuwa Thibout Courtous kuwa golikipa wa kwanza kutoa pasi ya bao baada ya franser Forster kufanya hivyo msimu wa 2012 dhidi ya Celtic vc Barcelona ,pia zappacosta ametoa pasi ya mwisho kwa batshuayi  kwenye ligi ya mabigwa ulaya, Bakayoko hakuwa mbali kuifungia Chelsea goli lake la kwanza na kutoa pasi ya bao la batshuayi,Pedro alikuwa wa kwanza baada ya kuunganisha mpira uliopigwa na kujikuta yuko mwenyeme nje ya boksi,

Kocha wa Barcelona Ernasto Valderi amefunguka na kusema kuwa messi atakapo kuwa na mpira ata presha ya mchezo inapungua kwani inajulikana atafanya kitu cha ajabu muargentina huyo katupilia mbali rekodi yake yakutomfunga au kutowai funga muitaliano Buffon amemfunga mara mbili  Rakitic hakuwa mbali kutoa msaada

Baada ya Paul pobga kuumia na kuingia kwa mbeligiji Felaini pale old Trafford aliunganusha grosi ya young mpaka ndani na kufunga goli la united lakuanza msimu huu hakuwa mbali kuchangia goli la tatu Rashford amekuwa mchezaji mpekee ambaye kwenye kila mashindano alyocheza amefunga kwenye mchezo wake wa kwanza kwa sasa imebaki kombe la dunia kwa vilabu tu.lukaku alifunga goli la 10 la msimu kwa ngazi ya klabu na timu ya taifa

PSG nao walimtandika celtic kipigo cha mabao matano kwa sifuri na kuwa kipigo cha kwanza Celtic anachokipokea kikubwa katika historia ya UCL Neymar ndo alkuwa wa kwanza kupata bao akifuatiliwa na mpape na cavani kufunga kwa penati  kabda ya mapumziko na goli la kujifunga la lustig na kichwa safi cha murugway Cavani

Atletico Madrid na Roma wameambulia suluhu ila nafasi nyingi ziliwaendea wanaotoka mji mkuu Hispania waliposhidwa kuchukua alama mji mkuu wa Italia . Benfika ameishia kuchoma mikeka ya watu baada ya kipigo cha ajabu nyumbani cha mabao mawili kwa moja ,Bayern Munich imewasambaatisha Anderchelet kwa bao 3 kwa sifuri Lewandoski alivutwa na koms kwenye eneo la hatari na refa aliamua kuonesha kadi nyekundu lewandoski aliinguanisha penati  upande wa kushoto na kuwa goli grosi ya upande wa kushoto iliunganishwa na alcantara kutoka kwa kimmich ,through ya Vidal kwa kimmich na kuwa goli . sporting kutwaa upendo ugenini olmpiacos kwa bao 3 kwa mbili

Maoni