TUONGEE MPIRA : SASA WENGER ASEMA NENO , ZABALETA NAE AFUNGUKA ,SEFA HAWANA BUDI KUKATAA

Kocha wa klabu ya Arsenal kasema kwamba  anapenda wachezaji wake 'napenda wachezaji wangu ,nawaamini pia ' mfaransa huyu anaekaribisha Bournemouth wikiendi hii emirates amepoteza mechi 2 mfululizo pamoja na kushinda ile ya ufunguzi dhidi ya leicester city

Katibu mkuu kiongozi wa mpira NORMAN ARENDSE kasema SAFA hawawezi wakakubali kurudia mchezo Kati  Senegal Kama FIFA walivyoamuru

Klabu ya sporting iko tayari kufungua kesi ama kuishitaki klabu ya West ham united  dhidi ya kumtaka bila kutumia njia inayoitajika kwa mchezaji willy carvalnho

Charles Daniels ameongeza mkataba wa miaka mitatu katika klabu ya Bournemouth mchezaji huyo aliifungia bao la kuongoza katika kichapo cha mbili kwa moja

Zabaleta amesema 'pointi ambazo unakusanya katika uwanja wa nyumbani zitaangalia na kwenda nazo msimu mzima na utakachokifanya msimu huo ' mchezaji huyu anatarajiwa kucheza mchezo wake wa kwanza wa nyumbani nyumatatu hii.

Maoni