ROONEY APATA RUNGU JINGINE,ILA HILI KUBWA tarehe Septemba 18, 2017 Pata kiungo Facebook X Pinterest Barua pepe Programu Nyingine Mshambuliaji wa Everton na Nahodha wa zamani wa Uingereza na Manchester united kahukumiwa kutoendesha gari kwa miaka miwili pamoja na kutopewa mshaara wowote kwa masaa 100 baada ya kukutwa akiendesha gari akiwa mlevi Maoni
Maoni