GUARDIOLA AKIMKOSA CONTE BASI ,MORATA AQUERO NDANI

Manchester  City  inatarajiwa Kukutana na Chelsea  jioni mchezo wa  ligi kuu uingereza  city amefunga goli 21 Msimu huu Hulu ikiwa ijapoteza mchezo wowote Chelsea wanatarajiwa kumchezasha mshambuliaji wao alyepiga Hatrick dhidi ya stoke pia magoli Robo Tatu ya cghelsea yamefugwa na kuchangiwa na Alvaro Morata pia aquero anaweza kutwaa mfungaji bora wa muda wore city Huku Guarduola akiwa amepoteza michezo yote miwili alyokutana na conte  Kama akipoteza utakuwa mchezo wa  tatu  anapoteza Kwa kocha mmoja tayari ameshapoteza Kwa conte

Maoni