FIFA RANKING IMETOKA ; TANZANIA YASHUKA ,EGYPT YAKULA NAFASI SAFI

FIFA imetangaza viwango vya ubora katika timu za taifa   UJERUMANI yaongoza imetwaa pointi  1606 kutoka 1549 kumi bora wako hivi

1:UJERUMANI -1606
2:BRAZIL -1549
3:PORTUGAL -1389
4:ARGENTINA -1325
5:BELGIUM -1265
6:POLAND-1250
7:SWITZERLAND-1210
8:FRANCE-1208
9:CHILE -1191
10:COLOMBIA-1191
katika viwango hivyo tunaongeza timu saba zifike 17 kumi bora hao hapo  juu

11:HISPANIA -1184
12:PERU -1103
13:WALES-1089
14:MEXICO-1085
15:ENGLAND-1056
16:URUGUAY-1043
17ITALY-1035
kuna  msemo afrika unasema "in Africa no harry" na FIFA tuko hivyo hivyo timu ya kwanza imeanza kuchomoza kwenye wa 30:MISRI ikiwa na point 815 inafuatiliwa na Tunisia wana alama 810 alaf Senegal wana alama 774 juu ya misri kuna  mzungu Mholanzi (Netherlands) wa 29 ana alama 819

kwa wazee Afrika ya mashariki UGANDA 71: Alama 486 anatia hamasa kubwa huku wazee TANZANIA Tukitoka nafasi 120 mpaka 125 alama za mwisho zilikuwa 259 za sasa alama 256 

Maoni