Baada ya Liverpool kuamua kukataa rufaa juu ya maamuzi ya kumuonesha kadi nyekundu msenegal Sadio Mane kwenye mchezo wa juzi dhidi ya Manchester City FA wamesema adhabu ya kutohudhuria na kucheza mechi tatu za ligi iendelee na kamwe hawataipunguza Mane aligongana na Ederson kipa wa Manchester city
Pia kikosi cha Arsenal kimepiga picha ya utambulisho msimu huu
Maoni