DIEGO COSTA ARUDI KIVINGINE, LEICESTER YAKATALIWA, JONATHAN MOSS KAPEWA KISU CHAKE CHA JUMAMOSI

Diego Costa ametua uwanja wa ndege hapa London haijulikana kwamba mpango wake ni kurejea Chelsea au la akitokea kwao Brazil iliripotiwa kuwa hakuwa na mpango wa kurejea Chelsea

Klabu ya Leicester city ikekataliwa kumsajili Adrien Silva wa sporting CP na FIFA baada ya kuomba kibali cha usajili kwa FIFA inasemekana walichelewa kwa sekunde 12

Refa Jonathan Moss ameteuliwa kushika kisu cha kuchinja  Kati ya mchezo wa MANCHESTER CITY dhidi ya LIVERPOOL

Alexis sanchez amejumlishwa kwenye kikosi cha Europe league Cha arsenal      Nathaniel clyne imethibitishwa atakuwa nje ya kwa kipindi jurden klop alithibitisha 

Maoni