BELGIUM YAFUZU , YAWA YA KWANZA ULAYA

Mshambuliaji wa Manchester united Romelu lukaku goli lake ushindi dhidi ya Ugiriki lilitosha kuwavusha na kuwa taifa la kwanza la ulaya kufuzu kombe la dunia mwakani  ushindi huo wa 2 kwa 1 Belgium ilijipatia bao la kuongoza kupitia Jan vertrogen wa Tottenham Hotspur alikuwa Kama nahodha wa mchezo.

Maoni