Valencia yamnasa Mlinda lango wa Juventus

Klabu ya Valencia inayoshiriki ligi kuu nchini Hispania maarufu kwa jina laliga imemnasa kipa namba mbili wa Juventus NETO MURARA  kipa huyo alicheza fainali ya coppa Italia katika ushindi wa mabao 0 kwa 2 dhid ya lazio mwezi may  na mechi kadhaa za ligu kuu ya Italia            na barthaprosper

Maoni