TETESI: PSG YAFANYA MAZUNGUMZO NA DAN ALVES ILI KUMSHAWISHI KUACHANA NA CITY?

Klabu ya Paris st -Germn imefanya mazungumzo  na beki wa zamani wa Juventus ili kuwatumikia msimu ujao lakin iripotiwa avles atatia saini city , Dan alves anatamani Sana kucheza chini ya kocha pepe kama alvyowai kumnoa alves kule catalunaa......Dan alves aliigomea kuendelea kuichezea juventus ujao na kuomba kuondoka  ndani ya msimu wake katika klabu hiyo alitwaa coppa de Italia  na serie A na na kusaidia timu kuweka rekodi ya mataji sita mfululizo na kucheza fainali ya ligi ya mabigwa Ulaya ndo mafanikio alyopata alves klabuni juventus

Maoni