T.BAKAYOKO KUTUA CHELSEA WIKI HII, STOKE CITY KAKATAA OFA YA 15£ MILLIONI YA AUTONOVIC

Klabu ya Chelsea huenda ikakamilisha usajili wake wa kumtwaa kiungo wa Monaco T.Bakayoko usajili wa huyu mfaransa ulichelewa kutokana na majeraha ya mchezaji huyo yaliyomkumbuka  ; klabu ya stoke city imekataa dau kutoka klabuni west ham ya kumtaka Marc Autonovic  dau la 15£M ila ilisemekana autonovic anataka kuondoka klabuni stoke city mkataba wake unaishi 2020 ila west ham inampango wa kuboresha ofa ya kumtwaa nyota huyo

Maoni