OFA YA PAULHINO YAKATALIWA

Ofa ya kumchukua mchezaji wa zaman wa spurs paulhino anayechezea kwa sasa klabu inayoshiriki ligi ya China ikiwa 22£M iliyotolewa na Barcelona imekataliwa  ....wiki 1 iliyopita Barcelona ilitoa ofa ya kumchukua kiungo huyo wa brazil

Maoni