FIFA YATANGAZA MSHINDI WA "HYUDRAI" GOLI BORA LA MICHUANO YA KOMBE LA SHIRIKISHO ,

Marc Fabian mchezaji wa mexco ametunikiwa tuzo ya goli bora la mashindano ya kombe la shirikisho tuzo inayofahamika kama  HYUDRAI goli alilofunga dhidhi ya ujerumani katika kipigo cha 4 kwa 1  alifunga goli lakufutia machozi kwa wamexico ndo limempa tuzo

Maoni