COSTA NA CONTE SASA WATOSHELEZANA MAMBO YAWA MAGUMU

Diego Costa ataka kuendelea kuitumikia chelsea .  Klabu ya Chelsea ina endelea kuongelea  kuhusu uhamisho wake  wa kurejea  Atletico Madrid , Conte anahamini kwamba Costa ameisha kabisa kuitumika klabu ya Chelsea ni njia yake ya kumaliza career yake kuitumikia Chelsea  ....ina maana wameshibana ina leta sitofahamu kabisa Kati ya Costa na Conte

Maoni