BREAKS: SASA MONACO YAUZWA BADALA YA WACHEZAJI WAMLIKI WAJISHANGAA

Bigwa wa ufaransa Monaco anakubwa kukijenga upya kikosi chake Silva,Mendy,bakayoko, mpape,Lamar,Fabinho   wanatakiwa barani ulaya Silva ashatangulia bakayoko anatarajiwa kutua kesho maongezi ya Mendy yamefika mbali kiasi dau linakaribia huko man city

Maoni