Gig Donnaruma ameongeza mkataba wake kwa miaka minne baada ya kukubali kusaini mkataba wa kusalia Raia huyo mwenye miaka 18 tu ashafanya maaajabu ya duniani akiwa golini , Steve Mandanda amerejea klabuni Olympic Marseille kwa kandarasi ya mwaka mmoja akitokea selhurst park C.palace ....., Morata amesafiri na kikosi cha Real Madrid huko Los Angeles .......
Maoni